Gigy Money asaidiwe

Huyo Gigy ni mtu mzima.

Mwacheni aishi maisha yake.

Kwa nini mnajali sana maisha ya watu wengine? Hamna maisha yenu?

Huyo dada ni mtu mzima. Mwili ni wake.

Akiamua kuuuza, hilo ni jambo lake.

Fair exchange ain’t robbery!!

Leave her alone.
Kama wanavyomnanga Kanye West na mkewe!
Mbaya sana sana. Haituhusu
 
Gigy na AmberLulu wakamshtaki yule mjinga kwa kuwarekodi na kuvujisha videos zao, kuliko kujifanya wapo sawa,
Lakini na hao wasichana wazingatie kuna VVU, Magonjwa mengine ya zinaa na Homa ya Ini

Gigy hapo anafurahia sana na ana safari ya cananda chezea et anatishia kujiua anatafuta tu huruma na basata
 
Gigy amesema ananipa PAPA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…