Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 14,590
- 25,690
Hilo jengo ndio wanaloishi vijana wengi wa kitanzania Johannesburg lipo mtaa Nugget/jeepe hilo jengo wao hulitambua kwa Chaka lao halina umeme, maji wala choo vijana wengi wa Kitanzania wanaoishi humo hufanya biashara ya unga, bangi na shughuli nyingi haramu hupatikana hapo pia kuna bar na wadada poa pia ndani ya huo mjengo.
Matukio ya kuuana humo ni kawaida tu, juzi tuu hapo katolewa Mtanzania humo kakatwa kichwa. Pia ni chimbo la bunduki zao wanazozitumia kukaba ndani ya mitaa ya jozi. Panya road pia walifikia hapo miezi michache iliyopita baada ya kufanya ukabaji mitaa ya Jozi na walikuwa wanakaba mpaka Watanzania wenzao kuzunguka hilo jengo ila baada ya kudhibitiwa aliyepona ni kama watatu tuu hao ndio mmoja yupo hosptali, mwingine anaugulia maumivu ya kutolewa jicho na kuvunjwa miguu yupo Soweto na wengine wamekimbilia Pretoria na Durban kuwa mabaharia wa Nchi kavu.
Ila waliopo Pretoria dawa yao inachemshwa kama wale waliovamia Jozi, kwa sasa kila kona ya mwisho wa mtaa kuna walinzi wa jiji na redio call zao imewafanya vijana wengi raia na wageni waliokuwa wanakaba kushindwa kwa mida ya kawaida labda usiku ila ujambazi wa magari kwa mitaa kama Troy, kerk, bree, president na pritchard ni kama kawaida hiyo ndio Johannesburg Town..
Matukio ya kuuana humo ni kawaida tu, juzi tuu hapo katolewa Mtanzania humo kakatwa kichwa. Pia ni chimbo la bunduki zao wanazozitumia kukaba ndani ya mitaa ya jozi. Panya road pia walifikia hapo miezi michache iliyopita baada ya kufanya ukabaji mitaa ya Jozi na walikuwa wanakaba mpaka Watanzania wenzao kuzunguka hilo jengo ila baada ya kudhibitiwa aliyepona ni kama watatu tuu hao ndio mmoja yupo hosptali, mwingine anaugulia maumivu ya kutolewa jicho na kuvunjwa miguu yupo Soweto na wengine wamekimbilia Pretoria na Durban kuwa mabaharia wa Nchi kavu.
Ila waliopo Pretoria dawa yao inachemshwa kama wale waliovamia Jozi, kwa sasa kila kona ya mwisho wa mtaa kuna walinzi wa jiji na redio call zao imewafanya vijana wengi raia na wageni waliokuwa wanakaba kushindwa kwa mida ya kawaida labda usiku ila ujambazi wa magari kwa mitaa kama Troy, kerk, bree, president na pritchard ni kama kawaida hiyo ndio Johannesburg Town..