Chademondus
Senior Member
- Apr 2, 2012
- 177
- 39
Waliopo karibu tunaomba mtujulishe hapo kariakoo kuna habari nimezipata kuwa Ghorofa moja linawaka moto.
Tafadhali mliopo karibu tunaomba mtujulishe
Tafadhali mliopo karibu tunaomba mtujulishe
Liko eneo la lumumba
I wish ingekuwa ni ofisi ya maccm lumumba
Liko eneo la lumumba
:mvutaji:
haya umesema wewe!! Usinitie majaribuni!mleta sred anakula bhange?
bali akuokoe na yule mwovu?haya umesema wewe!! Usinitie majaribuni!
amennnnnnnnnnnn!!!bali akuokoe na yule mwovu?
bali akuokoe na yule mwovu?
kwa kuwa ufalme ni wako