Eicher hadi linaingia road ni 110 milioni hapo ushalipia kila kitu limekamilika sasa hilo tata sijajua kama linafikia hiyo au kwa kuwa ni manunuzi ya kiserikali huwezi jua huenda ni sahihiView attachment 1188345
Habari ya jioni wakubwa, nauliza tu maana wengine hatujui chochote,Je gharama tajwa hapo juu ni sahihi ukilinganisha na hayo mabasi yalivyo?
Magari ya wahindi hayo mara ya mwisho niliyaona maonyesho ya saba saba mwaka majuzi lakini bei yake haikuzidi sh 100 mill labda hayo ni special order yanabeba binadamu na kemikali za mashambani!View attachment 1188345
Habari ya jioni wakubwa, nauliza tu maana wengine hatujui chochote,Je gharama tajwa hapo juu ni sahihi ukilinganisha na hayo mabasi yalivyo?
wewe unazungumzia used za japan. Serikali huwa hainunui usedEicher hadi linaingia road ni 110 milioni hapo ushalipia kila kitu limekamilika sasa hilo tata sijajua kama linafikia hiyo au kwa kuwa ni manunuzi ya kiserikali huwezi jua huenda ni sahihi
Magari ya wahindi hayo mara ya mwisho niliyaona maonyesho ya saba saba mwaka majuzi lakini bei yake haikuzidi sh 100 mill labda hayo ni special order yanabeba binadamu na kemikali za mashambani!
wewe unazungumzia used za japan. Serikali huwa hainunui used
Rudia kusoma coment yangu huko mwisho mwisho tuliza akili uelewewewe unazungumzia used za japan. Serikali huwa hainunui used
TATA nyingi New huku kwetu maana ni cheapSijawahi ona eicher used from japan...yaani magari yote yale anayotengeneza mjapan leo akanunue eicher from india....hakuna ulijualo hapa
ila ndege inanunua used?wewe unazungumzia used za japan. Serikali huwa hainunui used