Gharma hiii ni kweli au tumeliwa

Hatujui Bei yake,itakuwa kutakuwa na upigaji pasi ndefu hapa eti?
 
Hiyo mi TATA ndo itatumika muda gani, bei kubwa unanunua hayo mabati. si bora wangenunua marcopolo
 
Magari ya wahindi hayo mara ya mwisho niliyaona maonyesho ya saba saba mwaka majuzi lakini bei yake haikuzidi sh 100 mill labda hayo ni special order yanabeba binadamu na kemikali za mashambani!
Sawa, hizo ambazo uliziona zilikuwa model ipi? Na seaters ngapi?! Kwa hiyo ya juu huwezi kwa hiyo bei labda iwe used
 
Back
Top Bottom