Pole sana, nimepitia kipindi hicho , mgonjwa wangu tulipewa taarifa tofauti na zinazo changanya hapo hapo Muhimbili, walituambia hakuna bima inayo cover malipo ya Dyalisis na hivyo malipo ni cash , na hakuna msamaha wala hakuna mgonjwa kufanyiwa halafu mlipe baadae wakatuambia uongozi ume badilika hivyo ni cash kwanza, kwenye kitengo hicho nikaona watu wanatoka wana lia sababu hawana pesa.
Sijui wali tudanganya ili tulipe baada yake nakuja sikia kamba kuna watuw an amsamaha mpaka wanalipa 60k per session na wengine wnaomba mpaka hiyo wapunguziwe na pia nikasikia bima ina cover , kikweli siku elewa why walitupa taarisa sizizo sahihi.
Nenda hapo Muhimbili waulize vizuri na usiku bali kujibiwa na mtu mmoja inaonekana kuna kama kamchezo fulani hapo wa kukukatisha tamaa ili ulipe bei kubwa au kutoa ruswa ili wakupunguzie .