Maysally
Member
- Dec 6, 2013
- 54
- 21
Habari gani wana jf?Naomba kusaidiwa nyumba ambayo nimepanga huwa umeme unaisha mapema sana tena unakaa wk 1 kwa umeme wa laki naa,je hii inaweza kusababishwa na history maana nasikia mwenye nyumba alikua anaiba umeme zamani.Na je nifanyeje kupata umeme wangu tofauti na wenzangu?naomba msaada wanaojua