rhoda ryoba
Member
- Apr 19, 2016
- 88
- 168
Habari wanajukwaa?
Hivi gharama za uendeshaji kesi ya Lissu zinatoka wapi? (Posho kwa maaskari, posho kwa maafisa wa mahakama na nyinginezo) au kwa Tanzania gharama za uendeshaji Kesi hazitazamwi kama matumizi mabaya ya pesa za umma?
Madeni ya Taifa yanaongezeka na bado matumizi yasiyo ya lazima yanaongezeka? Tanzania kama nchi tunamatatizo mengi sana yanayohitaji pesa lakini tunaelekeza kwenye kesi za kisiasa. Kwanini kesi zisitumie muda mfupi, pesa nyingine ziendeshee kesi zingine.
Pia mahakama za Tanzania hazipo huru na sio shindani.
Hivi gharama za uendeshaji kesi ya Lissu zinatoka wapi? (Posho kwa maaskari, posho kwa maafisa wa mahakama na nyinginezo) au kwa Tanzania gharama za uendeshaji Kesi hazitazamwi kama matumizi mabaya ya pesa za umma?
Madeni ya Taifa yanaongezeka na bado matumizi yasiyo ya lazima yanaongezeka? Tanzania kama nchi tunamatatizo mengi sana yanayohitaji pesa lakini tunaelekeza kwenye kesi za kisiasa. Kwanini kesi zisitumie muda mfupi, pesa nyingine ziendeshee kesi zingine.
Pia mahakama za Tanzania hazipo huru na sio shindani.