Gharama za Masomo Chuo Kikuu Kwa Mwaka

Gharama za Masomo Chuo Kikuu Kwa Mwaka

Boniphace Kichonge

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2017
Posts
1,605
Reaction score
1,958
Wadau
Napenda kujua gharama za masomo ya course ya shahada ya kwanza kwa mwaka huko Chuo Kikuu kwa anayejilipia mwenyewe.
Aksanteni
Course ya sheria
Chuo Kikuu
 
Gharama za ada katika vyuo vikuu huwa zinazingitia haya...
1/Chuo husika.
2/Kozi husika.

Kila chuo kina gharama zake, na kila kozi katika chuo husika ina gharama zake tofauti na kozi nyingine.

Kuwa muwazi kuhusu hicho chuo na kozi.
 
Gharama za ada katika vyuo vikuu huwa zinazingitia haya...
1/Chuo husika.
2/Kozi husika.

Kila chuo kina gharama zake, na kila kozi katika chuo husika ina gharama zake tofauti na kozi nyingine.

Kuwa muwazi kuhusu hicho chuo na kozi.
Nazungumzia gharama za ada Chuo Kikuu
Course ya sheria
 
Sasa hutaji chuo wala course utasaidiwaje, kwa nini unakurupuka? Si utulie ujieleze vizuri.
 
Back
Top Bottom