kanonb
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 394
- 334
Haaa wewe hayo malaki unalipa kwenda kuona wanyama tu!!!! alafu eti soda 3000 na chakula ya wanaume wa dar 10000 wewe acha kabisa kwani ng'ombe na mbuzi sio wanyama na kuku sio ndege kuna njiwa na wengine wengi (wakikosa hao tutashangaana sisi wenyewe kwa na sisi ni wanyama) huwezi kunitoa hapa kwenda kulipa hayo mahela yote eti!! kuona wanyama weeee!! kwani nawachukua si wanabaki.