Gharama za kutembelea Saadani national park

Gharama za kutembelea Saadani national park

Zamaulid

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2009
Posts
19,955
Reaction score
16,006
Nataka kwenda kutembelea hiyo hifadhi naomba mwenye uzoefu wa huko anipe estimate ya gharama

Asanteni
 
Nataka kwenda kutembelea hiyo hifadhi naomba mwenye uzoefu wa huko anipe estimate ya gharama

Asanteni
Habari mkuu!. Nikupongeze kwanza kwa kuwa na malipo wazo hilo la kutembelea hifadhi zetu!.
Kwa uzoefu wangu wa mbuga na vivutio vingi nlivyobahatika kuvitembelea Tanzania hii ntakueleza kuwa kwa Mtanzania gharama za hifadhi si kubwa sana.
Kwa mtu mzima sasa ni kati ya
1. Tshilingi 5000 mpaka 10000(entry fee). Hii inalipwa pale getini na hailipwi CASH hivyo uwe na akaunti ya CRDB ili kadi yako ichanjwe pale getini kukata gharama hizo. ELEWA BILA HIYO KADI HUTAINGIA LABDA umkute mhasibu pale getini ana kadi yake atakusaidia. Au lipia kabisa mjini uende na risiti.
2. Usafiri. Hapa ndo kuna tatizo aiseee....gharama ni kubwa sana kwa makampuni yanayotoa hii huduma LABDA UWE NA GARI LAKO NA LINALOKUBALIKA HIFADHINI KUFANYA HUDUMA ZA KUTEMBEZA WATALII.
Magari ya kukodi kwa mchana mmoja ni kati ya 400000 mpaka 500000(saa 12asbh mpaka 12 jion).
3. Meals: itategemeana na wewe unakula nini hasa unapokuwa ktk shughur kama hiyo. Andaa ugali maharage wako uende nao kama huwezi ku-afford gharama za chakula hifadhini ambazo ni kubwa sana. Soda buku 3 chipsi 10000 lkn bia sijui bei yake maana huwa situmii.

Kwa maelezo zaidi just google hifadhi husika utapata mawasiliano yao na hasa email address ukiwatumia huwa wanajibu haraka na maelezo tosherezi kabisa.
 
Nilishawahi kuwauliza kulikuwa na ofisi upanga muda kidogo na usafiri wao ni zaidi ya milioni. Niliishia kwenda ngorongoro.ila nasikia saadani pako vizuri sana
 
Habari mkuu!. Nikupongeze kwanza kwa kuwa na malipo wazo hilo la kutembelea hifadhi zetu!.
Kwa uzoefu wangu wa mbuga na vivutio vingi nlivyobahatika kuvitembelea Tanzania hii ntakueleza kuwa kwa Mtanzania gharama za hifadhi si kubwa sana.
Kwa mtu mzima sasa ni kati ya
1. Tshilingi 5000 mpaka 10000(entry fee). Hii inalipwa pale getini na hailipwi CASH hivyo uwe na akaunti ya CRDB ili kadi yako ichanjwe pale getini kukata gharama hizo. ELEWA BILA HIYO KADI HUTAINGIA LABDA umkute mhasibu pale getini ana kadi yake atakusaidia. Au lipia kabisa mjini uende na risiti.
2. Usafiri. Hapa ndo kuna tatizo aiseee....gharama ni kubwa sana kwa makampuni yanayotoa hii huduma LABDA UWE NA GARI LAKO NA LINALOKUBALIKA HIFADHINI KUFANYA HUDUMA ZA KUTEMBEZA WATALII.
Magari ya kukodi kwa mchana mmoja ni kati ya 400000 mpaka 500000(saa 12asbh mpaka 12 jion).
3. Meals: itategemeana na wewe unakula nini hasa unapokuwa ktk shughur kama hiyo. Andaa ugali maharage wako uende nao kama huwezi ku-afford gharama za chakula hifadhini ambazo ni kubwa sana. Soda buku 3 chipsi 10000 lkn bia sijui bei yake maana huwa situmii.

Kwa maelezo zaidi just google hifadhi husika utapata mawasiliano yao na hasa email address ukiwatumia huwa wanajibu haraka na maelezo tosherezi kabisa.
Asante sana kiongozi,gari linalokubalika hifadhini lina sifa zipi?na kama nina gari je nawezakupata guider?
 
Nilishawahi kuwauliza kulikuwa na ofisi upanga muda kidogo na usafiri wao ni zaidi ya milioni. Niliishia kwenda ngorongoro.ila nasikia saadani pako vizuri sana
Mi nina rav4 je siwezi kufanya nayo tour?
 
Asante sana kiongozi,gari linalokubalika hifadhini lina sifa zipi?na kama nina gari je nawezakupata guider?
Sio mtaalam sana wa magar lkn sijui eti zote zenye "4 wheel driver" zinakubalika hapo mi sijui sana.
Gari za mjini hizi mara nyingi hazikubaliki....taxi na hizi gar za chini chini hizi hawazitaki. Wanataka gar zitakazo himili purukushani za barabara za hifadhini ambazo ni chafu na milima milima mingi.

Kuhusu guider ni juu yao wewe lipia hiyo gharama ya kuingia ukifika hifadhini utapatiwa mtu wa kukuongoza.
NASHAURI: ukitaka ufaidi zaidi uonyeshwe na utembezwe hata pasipofikika ANDAA HATA 20000 pemben mpe huyo guide kwa pemben atakuwa mchangamfu na maelezo kam lecturer wa DS
 
Habari mkuu!. Nikupongeze kwanza kwa kuwa na malipo wazo hilo la kutembelea hifadhi zetu!.
Kwa uzoefu wangu wa mbuga na vivutio vingi nlivyobahatika kuvitembelea Tanzania hii ntakueleza kuwa kwa Mtanzania gharama za hifadhi si kubwa sana.
Kwa mtu mzima sasa ni kati ya
1. Tshilingi 5000 mpaka 10000(entry fee). Hii inalipwa pale getini na hailipwi CASH hivyo uwe na akaunti ya CRDB ili kadi yako ichanjwe pale getini kukata gharama hizo. ELEWA BILA HIYO KADI HUTAINGIA LABDA umkute mhasibu pale getini ana kadi yake atakusaidia. Au lipia kabisa mjini uende na risiti.
2. Usafiri. Hapa ndo kuna tatizo aiseee....gharama ni kubwa sana kwa makampuni yanayotoa hii huduma LABDA UWE NA GARI LAKO NA LINALOKUBALIKA HIFADHINI KUFANYA HUDUMA ZA KUTEMBEZA WATALII.
Magari ya kukodi kwa mchana mmoja ni kati ya 400000 mpaka 500000(saa 12asbh mpaka 12 jion).
3. Meals: itategemeana na wewe unakula nini hasa unapokuwa ktk shughur kama hiyo. Andaa ugali maharage wako uende nao kama huwezi ku-afford gharama za chakula hifadhini ambazo ni kubwa sana. Soda buku 3 chipsi 10000 lkn bia sijui bei yake maana huwa situmii.

Kwa maelezo zaidi just google hifadhi husika utapata mawasiliano yao na hasa email address ukiwatumia huwa wanajibu haraka na maelezo tosherezi kabisa.
Yani hizi garama ndio zinatupa ganzi kwa kweli. Ukweli garama za mbugani bado ni kubwa sana sana. We fikiria upo na familia unataka mka furahi lazima mtu ujipange sana sana. Mm hapo tu ndio nashindwa japo napenda sana.
 
Sio mtaalam sana wa magar lkn sijui eti zote zenye "4 wheel driver" zinakubalika hapo mi sijui sana.
Gari za mjini hizi mara nyingi hazikubaliki....taxi na hizi gar za chini chini hizi hawazitaki. Wanataka gar zitakazo himili purukushani za barabara za hifadhini ambazo ni chafu na milima milima mingi.

Kuhusu guider ni juu yao wewe lipia hiyo gharama ya kuingia ukifika hifadhini utapatiwa mtu wa kukuongoza.
NASHAURI: ukitaka ufaidi zaidi uonyeshwe na utembezwe hata pasipofikika ANDAA HATA 20000 pemben mpe huyo guide kwa pemben atakuwa mchangamfu na maelezo kam lecturer wa DS
Ha ha ha nimeipenda hiyo ya lecturer wa DS pale UDSM yupo kidwang...
 
Yani hizi garama ndio zinatupa ganzi kwa kweli. Ukweli garama za mbugani bado ni kubwa sana sana. We fikiria upo na familia unataka mka furahi lazima mtu ujipange sana sana. Mm hapo tu ndio nashindwa japo napenda sana.
Mkuu ni kujipanga tu hata kama ni kwa kudunduliza mwaka mzima
 
Yani hizi garama ndio zinatupa ganzi kwa kweli. Ukweli garama za mbugani bado ni kubwa sana sana. We fikiria upo na familia unataka mka furahi lazima mtu ujipange sana sana. Mm hapo tu ndio nashindwa japo napenda sana.
Mkuu gharama si kubwa hifadhini.
1.Mtoto bure ( kama sikosei)
2. Miaka kadhaa chini 18 ni 1500
3. Mtu mzima 5000
Gharama kubwa ni usafir mkuu hapo ndo kuna tatizo. Mi nmebahatika kutembelea hifadhi nyingi sana Tanzania(karibia zote) na vivutio vingi sana mi nakwazwa na usafir tu
 
Mkuu, mimi nikiri kuwa ni mdau mzuri wa Utalii wa ndani, gharama kwa sasa kwa Mtanzania kutembelea hifadhi yoyote ile ya Taifa ni Tsh. 10,000/= entrance fee na Utailipia VAT ambayo ni Tsh.1,800/= jumla ni Tsh. 11,800/=

Kuhusu usafiri kwa hifadhi ya Saadani ni changamoto kidogo ila kama una rav4 unaweza kuitumia ila kwa upande wa River Pangani...utatumia boti kubreeze
All the Best.
Usiache kutimiza ulilo plan mkuu.
 
Mkuu, mimi nikiri kuwa ni mdau mzuri wa Utalii wa ndani, gharama kwa sasa kwa Mtanzania kutembelea hifadhi yoyote ile ya Taifa ni Tsh. 10,000/= entrance fee na Utailipia VAT ambayo ni Tsh.1,800/= jumla ni Tsh. 11,800/=

Kuhusu usafiri kwa hifadhi ya Saadani ni changamoto kidogo ila kama una rav4 unaweza kuitumia ila kwa upande wa River Pangani...utatumia boti kubreeze
All the Best.
Usiache kutimiza ulilo plan mkuu.
Mkuu kwa uzoefu wako unadhani nikiondoka na rav4 yangu na akiba ya laki tano na familia ya watu wazima wanne na watoto wawili niafanikiwa return dar?
 
Aiss bia situmii mkuu
Kama unataka kuona na kufurahia dunia nenda hifadhi yaan burudani utakayo ipata ni ya miaka kadhaa kutoka kichwani kwako. Mwaka juzi nlikuwa na tour ndeeeeefu kutembelea vivutio vilivyopo nyanda za juu kusini( mbeya na iringa) kiukweli sitakaa nisahau niliyoyaona na kujifunza. Kuna maajabu sana Tanzania kwetu humu
 
Gharama sio Kubwa kama unaenda kwa Gari binafsi gharama zote zinalipiwa Tanapa. Ndani ya mbuga ya Sadani gharama Sina uwakika kama zinalipiwa getini kutokana na ndani ya eneo hilo kuna kijiji cha Sadani na Gari za usafiri zinapita hapo.

Ukifika Kwenye kijiji cha Sadani ukiulizia ofisi za Tanapa utaonywesha hapo utalipia kibali cha kuingia mbugani na Tanapa wana matour guide wao gharama za kukutembeza unaongea nao haitazidi 20,000 au inategemea na huyo mtu makubaliano naye.
 
Mkuu kwa uzoefu wako unadhani nikiondoka na rav4 yangu na akiba ya laki tano na familia ya watu wazima wanne na watoto wawili niafanikiwa return dar?
Hiyo Inatosha Kabisa ikiweZekana bebeni na soft drinks zenu Sadani kuna vyumba vya wageni wa kawaida pia Tanapa wana hostel za kulala wageni. Kwa gharama za kulala hotel zilizokuwepo ndani ya Sadani ni kubwa Hiyo Pesa haitatosha.
 
Back
Top Bottom