elfu 12,000 mitihani.....tution unatafuta mwenyewe na mwalimu wa tution unamtafuta mwenyewe wewe ni kulipia mitihani na kusubili necta na cpe kama private candidate:loco:Nimemaliza chuo BCOM ACC natarjia mwakani kusoma CPA module E na F je itanigharimu kiasi gani?
Yeah, but sio kwa "Final Modules" E &F.na unaweza kusoma CPA wakati bado unasoma barchelor?
Yeah, but sio kwa "Final Modules" E &F.
Yaani vigezo vya hizi final ni either Advanced Diploma ya Account, Bachelor au Module D.
Sasa Kama unataka uwe unasoma Bachelor halafu uwe unafanya final modules, assumption ni kwamba ulishawahi kufikia module D,
Otherwise, haiwezekani!!
Km intermediate level gharama ni laki 310 for registration,na kila somo ni elfu 90.