Diesel generator
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 706
- 660
Hizo Dora ndio nini(1)Kilomoja ya mzigo kwa kutumia usafiri wa ndege kutoka china kuja Tanzania ni dora ngapi?.
(2)Kilo moja ya mzigo kutoka dubai kuja Tanzania ni dora ngapi?.
(3)Mzigo mdogo ambao ni sawa na robo kontena au mafulushi machache yanaweza safilishwa Kwa meri kuja dar ? ,au ni lazika mzigo ujae kontena?.
Sent using Jamii Forums mobile app
hapo kama umeharibu vile.
hakika huu ni msaada kwa wengi1. Kilogram moja ya mzigo kutoka China hadi Tanzania inategemea unatumia Kampuni gani ya usafirishaji mfano Kuna Kampuni Kama DHL, EMS, Posta, ESk, FedEx n.k na gharama za usafirishaji inategemea Kama mzigo ni express au normal lakini wastani ni USD 5 hadi USD 20 kwa kilogram moja.
2. Pia kilogram moja ya mzigo kutoka Dubai kuja Tanzania haina tofauti sana na maelezo ya kipengele namba moja ila kwa Dubai itakuwa bei nafuu kidogo sababu ni karibu kuja Tanzania ukilinganisha na China. Nitakupa Bei kamili nikifika ofisini sababu pia bei huwa zinabadilika kulingana na season na pia number ya mizigo kwa wakati husika.
3. Kama una mzigo mwingi ila haujajaa container ni vizuri ukasafirisha kwa meli, sababu bei ya shipment inakuwa ndogo ukilinganisha na meli pia ndege gharama inapimwa kwa uzito yani kilograms au tani ila meli gharama zake zinapimwa kwa cubic meter ( CBM).
Kuna namna mbili za kusafirisha mzigo wako Kama haujajaa container
(a) kusafirisha mzigo kwa kutumia Consolidator, hii inahusisha kuunganisha mizigo midogo ya watu wengine kwenye container moja na mzigo wako, anaefanya kazi hiyo ni Consolidator na wapo wengi katika kila Bandari au masoko makubwa yanayohusisha exportation.
(b) namna ya pili ya kusafirisha mzigo wako Kama haujajaa container ni kwa kutumia loose cargo format hapa inahusisha usafirishaji wa mzigo wako bila kuweka kwenye container, shipping line ndio wako responsible na process zote wakishirikiana na agent wako.
Kwa maelekezo na msaada zaidi unaweza kututafuta kwa shughuli zote za Import/Export, Clearance and Freight Forwarding Services.
Address
IKUMO Clearing and Logistics Ltd
LIDA House, third Floor,
Nkhurumah Street,
P.O.Box 74562, Dar es salaam
Phone No. +255624004050,
e-mail. ikumoclearing17@gmail.com.
Karibu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Thanks!1. Kilogram moja ya mzigo kutoka China hadi Tanzania inategemea unatumia Kampuni gani ya usafirishaji mfano Kuna Kampuni Kama DHL, EMS, Posta, ESk, FedEx n.k na gharama za usafirishaji inategemea Kama mzigo ni express au normal lakini wastani ni USD 5 hadi USD 20 kwa kilogram moja.
2. Pia kilogram moja ya mzigo kutoka Dubai kuja Tanzania haina tofauti sana na maelezo ya kipengele namba moja ila kwa Dubai itakuwa bei nafuu kidogo sababu ni karibu kuja Tanzania ukilinganisha na China. Nitakupa Bei kamili nikifika ofisini sababu pia bei huwa zinabadilika kulingana na season na pia number ya mizigo kwa wakati husika.
3. Kama una mzigo mwingi ila haujajaa container ni vizuri ukasafirisha kwa meli, sababu bei ya shipment inakuwa ndogo ukilinganisha na meli pia ndege gharama inapimwa kwa uzito yani kilograms au tani ila meli gharama zake zinapimwa kwa cubic meter ( CBM).
Kuna namna mbili za kusafirisha mzigo wako Kama haujajaa container
(a) kusafirisha mzigo kwa kutumia Consolidator, hii inahusisha kuunganisha mizigo midogo ya watu wengine kwenye container moja na mzigo wako, anaefanya kazi hiyo ni Consolidator na wapo wengi katika kila Bandari au masoko makubwa yanayohusisha exportation.
(b) namna ya pili ya kusafirisha mzigo wako Kama haujajaa container ni kwa kutumia loose cargo format hapa inahusisha usafirishaji wa mzigo wako bila kuweka kwenye container, shipping line ndio wako responsible na process zote wakishirikiana na agent wako.
Kwa maelekezo na msaada zaidi unaweza kututafuta kwa shughuli zote za Import/Export, Clearance and Freight Forwarding Services.
Address
IKUMO Clearing and Logistics Ltd
LIDA House, third Floor,
Nkhurumah Street,
P.O.Box 74562, Dar es salaam
Phone No. +255624004050,
e-mail. ikumoclearing17@gmail.com.
Karibu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu ahsante kwa kutufumbua macho wengi..1. Kilogram moja ya mzigo kutoka China hadi Tanzania inategemea unatumia Kampuni gani ya usafirishaji mfano Kuna Kampuni Kama DHL, EMS, Posta, ESk, FedEx n.k na gharama za usafirishaji inategemea Kama mzigo ni express au normal lakini wastani ni USD 5 hadi USD 20 kwa kilogram moja.
2. Pia kilogram moja ya mzigo kutoka Dubai kuja Tanzania haina tofauti sana na maelezo ya kipengele namba moja ila kwa Dubai itakuwa bei nafuu kidogo sababu ni karibu kuja Tanzania ukilinganisha na China. Nitakupa Bei kamili nikifika ofisini sababu pia bei huwa zinabadilika kulingana na season na pia number ya mizigo kwa wakati husika.
3. Kama una mzigo mwingi ila haujajaa container ni vizuri ukasafirisha kwa meli, sababu bei ya shipment inakuwa ndogo ukilinganisha na meli pia ndege gharama inapimwa kwa uzito yani kilograms au tani ila meli gharama zake zinapimwa kwa cubic meter ( CBM).
Kuna namna mbili za kusafirisha mzigo wako Kama haujajaa container
(a) kusafirisha mzigo kwa kutumia Consolidator, hii inahusisha kuunganisha mizigo midogo ya watu wengine kwenye container moja na mzigo wako, anaefanya kazi hiyo ni Consolidator na wapo wengi katika kila Bandari au masoko makubwa yanayohusisha exportation.
(b) namna ya pili ya kusafirisha mzigo wako Kama haujajaa container ni kwa kutumia loose cargo format hapa inahusisha usafirishaji wa mzigo wako bila kuweka kwenye container, shipping line ndio wako responsible na process zote wakishirikiana na agent wako.
Kwa maelekezo na msaada zaidi unaweza kututafuta kwa shughuli zote za Import/Export, Clearance and Freight Forwarding Services.
Address
IKUMO Clearing and Logistics Ltd
LIDA House, third Floor,
Nkhurumah Street,
P.O.Box 74562, Dar es salaam
Phone No. +255624004050,
e-mail. ikumoclearing17@gmail.com.
Karibu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Me nilichoelewa wewe ni "Msukuma"..
Gahah! Nilidhani habari inatoka China to TzMancity to avoid transfer burn