Diesel generator
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 706
- 660
(1)Kilomoja ya mzigo kwa kutumia usafiri wa ndege kutoka china kuja Tanzania ni dola ngapi?.
(2)Kilo moja ya mzigo kutoka dubai kuja Tanzania ni dola ngapi?.
(3)Mzigo mdogo ambao ni sawa na robo kontena au mafulushi machache yanaweza safilishwa Kwa meri kuja dar ? ,au ni lazika mzigo ujae kontena?.
Sent using Jamii Forums mobile app
(2)Kilo moja ya mzigo kutoka dubai kuja Tanzania ni dola ngapi?.
(3)Mzigo mdogo ambao ni sawa na robo kontena au mafulushi machache yanaweza safilishwa Kwa meri kuja dar ? ,au ni lazika mzigo ujae kontena?.
Sent using Jamii Forums mobile app