Mti wa Chuma
JF-Expert Member
- Jul 2, 2015
- 331
- 99
- Thread starter
- #21
Ahsante Kwa ushauri mzuri.Kama upo Arusha nakushauri upitie Nairobi badala ya Bukoba. Ukifika Nai upande Modern Coast moja kwa moja hadi Kigali. Ni mabasi ya kisasa kabisa, utahisi kama umepanda Qater airways!