Gharama za kuishi Marekani au UK

Gharama za kuishi Marekani au UK

Kibundi wa getto

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2013
Posts
455
Reaction score
878
Wakuu naombeni msaada wa kujua gharama za kuishi USA au UK,pamoja na vigezo na masharti.Malengo yangu ilikua ni kuishi hizo nchi toka kitambo tatizo lilikua kipato.

Nataka nikaishi tu bila kufanya kazi sababu mimi nafanya online business ambazo ni worldwide so popote mimi life linaenda.

Naishi kwa sport betting,hii biashara nimeshakua addicted kwa hiyo sina mpango wa kufanya biashara yeyote katika maisha yangu.Sipati sana faida wala sipati sana hasara mtaji unakua taratibu.

Sitegemei mtu anishauri nikae bongo niwekeze,sijui nijenge majumba.Hapana mimi nimeshafanya fanya biashara nyingi najua faida na hasara zake kwa sasa nimeamua kuishi kwa maisha yakubeti mpaka kifo sababu na enjoy sana haya maisha.

Na hii ndio sababu nataka nikamalizie maisha yangu UK au USA.
 
mkuu lazima wakuzuie Airport halafu wanakupakia ndege inayofuata kurudi nyumbani
 
Yote ni dunia, nenda tu baba hata walio kwenda ni binadam tu km wewe.
 
Wakuu naombeni msaada wa kujua gharama za kuishi USA au UK,pamoja na vigezo na masharti.Malengo yangu ilikua ni kuishi hizo nchi toka kitambo tatizo lilikua kipato.

Nataka nikaishi tu bila kufanya kazi sababu mimi nafanya online business ambazo ni worldwide so popote mimi life linaenda.

Naishi kwa sport betting,hii biashara nimeshakua addicted kwa hiyo sina mpango wa kufanya biashara yeyote katika maisha yangu.Sipati sana faida wala sipati sana hasara mtaji unakua taratibu.

Sitegemei mtu anishauri nikae bongo niwekeze,sijui nijenge majumba.Hapana mimi nimeshafanya fanya biashara nyingi najua faida na hasara zake kwa sasa nimeamua kuishi kwa maisha yakubeti mpaka kifo sababu na enjoy sana haya maisha.

Na hii ndio sababu nataka nikamalizie maisha yangu UK au USA.
Hizi nchi watu hawaishi kiubabaishaji wakikugundua wanakurudisha
 
Wakuu naombeni msaada wa kujua gharama za kuishi USA au UK,pamoja na vigezo na masharti.Malengo yangu ilikua ni kuishi hizo nchi toka kitambo tatizo lilikua kipato.

Nataka nikaishi tu bila kufanya kazi sababu mimi nafanya online business ambazo ni worldwide so popote mimi life linaenda.

Naishi kwa sport betting,hii biashara nimeshakua addicted kwa hiyo sina mpango wa kufanya biashara yeyote katika maisha yangu.Sipati sana faida wala sipati sana hasara mtaji unakua taratibu.

Sitegemei mtu anishauri nikae bongo niwekeze,sijui nijenge majumba.Hapana mimi nimeshafanya fanya biashara nyingi najua faida na hasara zake kwa sasa nimeamua kuishi kwa maisha yakubeti mpaka kifo sababu na enjoy sana haya maisha.

Na hii ndio sababu nataka nikamalizie maisha yangu UK au USA.
Mkuu ngoja nikusaidie kwa kuwaita wafuatao:-
Nyani Ngabu
Kiranga
witnessj
Mungu akutangulie Mkuu na ukafanikiwe,ila wakumbuke ndugu zako wa TZ
Kwa uzoefu wangu mdogo, ambao unaweza kuwa na makosa kwa sababu sijafanya uchunguzi rasmi, kutegemea na kama mtu ana familia ama la (watoto anasomesha private schools, public schools au msela mwenyewe tu), anaishi wapi (miji mikubwa expensive au sehemu zisizona gharama), anataka maisha ya juu, ya wastani au ya kati, kwa wastani watu wengi kutoka Tanzania Marekani kwa mfano, huweza kujikimu kwa kuanzia $1,000 mpaka $5,000 kwa mwezi.

Hayo ni matumizi, si mapato, mapato yanatakiwa yawe zaidi kwa sababu kunakodi na matozo kibao.

Kuna wengine wanaoweza kuwa chini ya hapo, au zaidi ya hapo, lakini kwa utafiti wangu usio rasmi,naona hapo ndipo watu wengi walipo.
 
Ni kubwa sana kama huna kipato cha kueleweka.
Wengi huishia kubeba biksi, kucare wazee n.k
 
Back
Top Bottom