Gharama za kufungua duka la dawa

Man tofa

Member
Joined
Oct 7, 2014
Posts
60
Reaction score
8
naomba kuuliza hasa kwa wale wenye uelewa wa kuuza duka la dawa ni kiasi gan kwa duka la standard kama unataka kufungua pia unapitia mchakato gani mpaka kupata kibali naomben msaada wa mawazo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…