Faru dume JF-Expert Member Dec 7, 2012 471 116 Nov 25, 2018 #1 Habari, Naomba kufahamu hatua na gharama za kuanzisha kituo cha kufanyia mitihani kwa wanao rudia mitihani ya kidato cha nne. ASANTENI
Habari, Naomba kufahamu hatua na gharama za kuanzisha kituo cha kufanyia mitihani kwa wanao rudia mitihani ya kidato cha nne. ASANTENI
mkulu senkondo JF-Expert Member Feb 19, 2017 1,834 3,528 Nov 25, 2018 #2 Ukikaribia kuanza kukifungua naomba niambie nikuunganishe na walimu waliobobea.
Faru dume JF-Expert Member Dec 7, 2012 471 116 Nov 25, 2018 Thread starter #3 mkulu senkondo said: Ukikaribia kuanza kukifungua naomba niambie nikuunganishe na walimu waliobobea. Click to expand... Sawa ila nahitaji kujua taratibu zipoje mkuu
mkulu senkondo said: Ukikaribia kuanza kukifungua naomba niambie nikuunganishe na walimu waliobobea. Click to expand... Sawa ila nahitaji kujua taratibu zipoje mkuu
mkulu senkondo JF-Expert Member Feb 19, 2017 1,834 3,528 Nov 25, 2018 #4 Faru dume said: Sawa ila nahitaji kujua taratibu zipoje mkuu Click to expand... Ngoja wajuzi wa mambo waje watoe mwongozo. Hata hivyo nahisi ni Muhimu ungemuona afisa elimu wa wilaya husika, yeye atakupa mwongozo mzuri zaidi.
Faru dume said: Sawa ila nahitaji kujua taratibu zipoje mkuu Click to expand... Ngoja wajuzi wa mambo waje watoe mwongozo. Hata hivyo nahisi ni Muhimu ungemuona afisa elimu wa wilaya husika, yeye atakupa mwongozo mzuri zaidi.
Faru dume JF-Expert Member Dec 7, 2012 471 116 Nov 25, 2018 Thread starter #5 mkulu senkondo said: Ngoja wajuzi wa mambo waje watoe mwongozo. Hata hivyo nahisi ni Muhimu ungemuona afisa elimu wa wilaya husika, yeye atakupa mwongozo mzuri zaidi. Click to expand... ASANTE MKUU NITAFATILIA
mkulu senkondo said: Ngoja wajuzi wa mambo waje watoe mwongozo. Hata hivyo nahisi ni Muhimu ungemuona afisa elimu wa wilaya husika, yeye atakupa mwongozo mzuri zaidi. Click to expand... ASANTE MKUU NITAFATILIA