Sigma
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 5,006
- 1,254
Ongezeko la asilimia mia (100%)Kuanzia tarehe 1 mwezi januari mwakani nauli ya kuvuka kwenda na kutoka kigamboni itakua shiling mia mbili kwa mtu mmoja,na gari zitatozwa sh elfu mbili!
Walalahoi tujipange kufunga mikanda,