Mhigwa one
Member
- Nov 5, 2016
- 60
- 46
Wadau kwanza namshukuru Mungu kwa kupata chuo hasa baada ya mwaka huu kuwa na ushindani mkubwa. Mimi ni miongoni mwa wanafunzi waliopita stashahada(diploma) na kupata GPA ya 4.6 niliomba udom na mzumbe na kupata course zifuatazo, udom nilipata Bachelor of Educational management and Administration na mzumbe nilipata Bachelor of science in economics - economic policy and planning but kwa sababu diploma nilisoma course hiyo niliyopata udom nikaamua ku confirm Mzumbe kwa kozi hiyo ya uchumi maana kilikuwa ni chuo nilichokipenda sana tangu zamani sana. Sasa wadau pamoja na kutumiwa joining na kila kitu( important documents) sijaona document inayofafanua fee structure kama wafanyavyo udom lengo ni kuanza taratibu za malipo nitumieni gharama za fee na other cost.Pia nielezeni umuhimu na fursa za kozi hiyo unaweza kuwa nani baadae mbali na kuwa mchumi tu. Karibuni kw aushauri