Gharama za DSTV Full Installation

Gharama za DSTV Full Installation

mlimbwende

Member
Joined
Jul 15, 2011
Posts
74
Reaction score
26
Wadau naomba mnijuze je gharama zaDSTV Full Installation ni sh ngapi? na ofisi zao ziko wapi?
 
Asante kwa swali zuri tusubiri wadau waje watujuze nami nhitaji sana dstv
 
Ghalama mi sijui maana naangalizia mechi zangu za big four kwenye bar lakini ofisi za DST zipo barabara za Ally Hassan Mwinyi karibia na kituo cha Mbuyuni
 
Wadau naomba mnijuze je gharama zaDSTV Full Installation ni sh ngapi? na ofisi zao ziko wapi?

Kwanza wewe unapatikana wapi? Mwezi mmoja uliopita bei ilikuwa sh 169,000/= bila muda wa hewani kama utalipia akaunti ya premium ni sh 128000/= +40000/= ya fundi
 
Bei ni 169k decorder dish na kila k2. Ila package inategemea unataka ipi kuna ya 15k 32k 50k 80k n 127k

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Fundi haumlipi hata senti! Mie nilipewa na usafiri bure! Fundi ni uamzi wako kumtoa hela ya soda!
 
Hela ya fundi huwa wanaiweka kwenye hiyo hela unayolipia..so hawakwambii tu.
 
Hata kama wanaweka fundi, sasa kwann uangaike kumlipa fundi tena? Mie nilifungiwa free na wanakwambia kabisa ukiwa ofsini kwao kuwa hautakiwi kulipa extra costs!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom