Haya ni
Majibu mepesimepesi
Duh kwani hii Free aliomba mteja kama mkopo? hii sio haki, japo hii ligi imeshaisha 69,000 nitakisahau mpaka ligi ikianza tena, sasa nikilipia king'amuzi kingine, nikirudi kwenu nitakua lipa ziadaHakuna gharama inayoongezeka badala yake ww utakua kuna wakati ulikua unaangalia free ,,sasa inapotokea case kama hii inafanyika compasation kufidia ule muda ambao ulioangalia bila kulipia
Gharama ya kifurushi cha Dstv bomba ni 19,000
DStv your input on this please...Ebo?? Nyie mna mchaji mtu kwa kuangalia free kwani yeye ndio mwizi au UZEMBE WENU?? This is rediculous..kwa nini msimwajibishe aliyeachia hizo chanel ofisini kwenu badala ya kumuu miza mteja??
Mnatakiwa kushtakiwa if that is the Case
DStv fanyeni mfanyalo lakini msijekunifanyia huu upuuzi wa kunicharge kwa kisingizio eti niliangalia free. Hiyo kesi yake najua mtashinda kwasababu mna hela ila ntahakikisha inafika High Court na hapo ndio mtaninunulia nyumba Masaki.Hakuna gharama inayoongezeka badala yake ww utakua kuna wakati ulikua unaangalia free ,,sasa inapotokea case kama hii inafanyika compasation kufidia ule muda ambao ulioangalia bila kulipia
DStv fanyeni mfanyalo lakini msijekunifanyia huu upuuzi wa kunicharge kwa kisingizio eti niliangalia free. Hiyo kesi yake najua mtashinda kwasababu mna hela ila ntahakikisha inafika High Court na hapo ndio mtaninunulia nyumba Masaki.