Gharama za DStv Bomba

Gharama za DStv Bomba

Dindira

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2016
Posts
2,912
Reaction score
3,468
Wakuu, waungwana na waheshimiwa. Hebu nijuzeni gharama ya kifurushi cha DStv bomba.
Natanguliza shukran
 
Gharama ya kifurushi cha Dstv bomba ni 19,000
Kuna kipindi sikulipia kama miezi 3 nilipokuja kulipia 19,000 ilikata nikapiga simu ofisini nikaambiwa nilipe 20,000..naomba kujua mda gani ukipitiliza kulipa gharama zinaongezeka.
 
Hakuna gharama inayoongezeka badala yake ww utakua kuna wakati ulikua unaangalia free ,,sasa inapotokea case kama hii inafanyika compasation kufidia ule muda ambao ulioangalia bila kulipia
Kuna kipindi sikulipia kama miezi 3 nilipokuja kulipia 19,000 ilikata nikapiga simu ofisini nikaambiwa nilipe 20,000..naomba kujua mda gani ukipitiliza kulipa gharama zinaongezeka.
 
Sina uhakika na ilo SBB kifurushi kilipoisha walikata, nikasafiri mkoani niliporudi nilipolipa 19,000 ilikataa nilipopiga ofisini ndo wakaniambia niongeze 1000 ili iwe 20,000 tena nakumbuka waliniuliza ni mda gani sikulipia nilipoongeza iyo buku kifurushi change kikawa hewani apo apo
Hakuna gharama inayoongezeka badala yake ww utakua kuna wakati ulikua unaangalia free ,,sasa inapotokea case kama hii inafanyika compasation kufidia ule muda ambao ulioangalia bila kulipia
 
Gharama ya kifurushi cha Dstv bomba ni 19,000
Dear DStv customer service,

Today I paid reconnection fees @19,000 around 13hrs. Wonderfully enough I have not been connected till now. Ningelipia premium ingekula kwangu.
My IUC 7029243022
What do you want me to think if some of your competitors do reconnect automatically.
I have called your customer service but nothing doing.

Regards,
Disappointed customer
 
Dear DStv customer service,

Today I paid reconnection fees @19,000 around 13hrs. Wonderfully enough I have not been connected till now. Ningelipia premium ingekula kwangu.
My IUC 7029243022
What do you want me to think if some of your competitors do reconnect automatically.
I have called your customer service but nothing doing.

Regards,
Disappointed customer
Taratiiiiiibu Sie watu wa malaka tutaanza kuwajua kwa majina yenu halisi.......... Tutakachofanya ni kuzinasa tu hizi taarifa zenu za ukweli ili mkizingua tu vijana wetu muwe mnawakuta milangoni mwenu
 
Taratiiiiiibu Sie watu wa malaka tutaanza kuwajua kwa majina yenu halisi.......... Tutakachofanya ni kuzinasa tu hizi taarifa zenu za ukweli ili mkizingua tu vijana wetu muwe mnawakuta milangoni mwenu
Uwe umejipanga lakini. Usije ukakuta nimepanda mpapai nyumbani
 
Comment insta au Twitter kwenye page zao wapo fasta kujibu na kushughurikia matatizo mbalimbali
 
Hakuna gharama inayoongezeka badala yake ww utakua kuna wakati ulikua unaangalia free ,,sasa inapotokea case kama hii inafanyika compasation kufidia ule muda ambao ulioangalia bila kulipia

Ebo?? Nyie mna mchaji mtu kwa kuangalia free kwani yeye ndio mwizi au UZEMBE WENU?? This is rediculous..kwa nini msimwajibishe aliyeachia hizo chanel ofisini kwenu badala ya kumuu miza mteja??

Mnatakiwa kushtakiwa if that is the Case
 
Hakuna gharama inayoongezeka badala yake ww utakua kuna wakati ulikua unaangalia free ,,sasa inapotokea case kama hii inafanyika compasation kufidia ule muda ambao ulioangalia bila kulipia
Huu nao Ni wizi Kama wizi mwingine. Kwann umwadhibu mtu asiye na hatia ?. Hapo mtumiaji Hana kosa Bali mwenye kosa ni mfanya kazi wenu.
 
Hakuna gharama inayoongezeka badala yake ww utakua kuna wakati ulikua unaangalia free ,,sasa inapotokea case kama hii inafanyika compasation kufidia ule muda ambao ulioangalia bila kulipia
DStv? Are you serious?
Kama nilisafiri wakati sijalipia ila mfanyakazi wenu akaamua kuendelea kutokata huduma, mnaweza kweli hadharani bila soni tena mbele ya competitors mkasema mlinicharge kwasababu hamkukata service. Yaani una ni punish kwa kosa ambalo singejua kama DStv wanafanya kosa wanataka walipwe. Wonderful wonderful yaani inatisha kwa uzembe
 
Hakuna gharama inayoongezeka badala yake ww utakua kuna wakati ulikua unaangalia free ,,sasa inapotokea case kama hii inafanyika compasation kufidia ule muda ambao ulioangalia bila kulipia
Duhu?
 
Please stay tuned on Ss200 and wait sorry
Dear DStv customer service,

Today I paid reconnection fees @19,000 around 13hrs. Wonderfully enough I have not been connected till now. Ningelipia premium ingekula kwangu.
My IUC 7029243022
What do you want me to think if some of your competitors do reconnect automatically.
I have called your customer service but nothing doing.

Regards,
Disappointed customer
 
Please stay tuned on Ss200 and wait sorry
For how long my dear friend. It is now 20.30 PM while I paid before 14.00
If there is a problem at DStv, please share it. I have now spoken to 5 customer service ladies. Nothing doing apart from promises of " we will call back" and they forget/deliberately neglect to call back.
 
Back
Top Bottom