Wanabodi, Airtel, wamenila sh 45,000 ndani ya dk 10.Je hii ni haki kweli?? Nimewapigia simu custor services sijapata majibu ya maana. Ninahisi kuwa watu wanaiba kupitia mifumo wa IT au elimu ya IT waliyonayo. Mwenye experience na tukio kama hili aniambie alifanyaje?