spyboss
Member
- Nov 30, 2015
- 45
- 69
Habari za mchana. Gharama ya Usafiri kwa wakaazi wa Changanyikeni kupitia Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) imenda kutoka Tsh 500/- na kuwa Tsh 1000/- kwa usafiri wa kutumia bajaji bado sijapata bei ya pikipiki. Ikumbukwe pia kwamba hakuna daladala zinazotoa huduma kwenda changanyikeni hivyo usafiri pekee kwa wakazi hawa ni boda boda na Bajaji
Nawasilisha
Nawasilisha