Gharama Ya silver

Gharama Ya silver

king_kunta

Member
Joined
Jun 14, 2016
Posts
21
Reaction score
9
Habari wana jamii forum, nilikua naomba msaada wa kujua ni duka gani naweza uza silver kwa bei nzuriii kwa dar. Na gram bei ganii.
 
Ukiona kimya may be wananunua gold si unajua jf watu wake ni matajiri sana...
Mie ningekuwa najua ningekuelekeza tatizo mie shopping yangu ni kwa wamachinga iwe fake silver au gold napata na bei haizidi elfu mbili
 
Back
Top Bottom