Haaa haa wala hakuwa akijali kabisa yatakayojiri huko.Baada pia alichaguliwa kwenda comoro kutuliza hali ya mambo.Tunamshukuru Mungu utawala uliopita ulimkumbuka kabla ya kuondoka madarakani ulimpandisha cheo ,kutoka major mpaka Brigedia![/QUOT
Kama hujui kitu ni bora kukaa kimya huwezi kutoka meja ukawa brigedia, hivi unajua cheo cha brigedia wewe?