Himidt Lengo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2018
- 389
- 370
Hata ningekatwa kiwiliwili na nikafa kabisa, NAPENDA SANA JESHI NI BASI TUU HUYU KAGAKA ANAZINGUA NAFASI SIKU HIZI.PTUUUUH KAGAKA TYPE !
Haaa haa wala hakuwa akijali kabisa yatakayojiri huko.Baada pia alichaguliwa kwenda comoro kutuliza hali ya mambo.Tunamshukuru Mungu utawala uliopita ulimkumbuka kabla ya kuondoka madarakani ulimpandisha cheo ,kutoka major mpaka Brigedia![/QUOT
Kama hujui kitu ni bora kukaa kimya huwezi kutoka meja ukawa brigedia, hivi unajua cheo cha brigedia wewe?
Sasa hapo sio swala la kufurahia, hapo ni ishu ya ki uchumi ndio ilio msukuma!Ila wenyewe wanajeshi wanafurahia vita.Kuna kaka yangu mwanajeshi,miaka ya nyuma, alikuwa kwenye mchujo wa watu wanaoenda peace keeping Siera Leone.Jamaa wasiwasi ulikuwa asikose nafasi ya kwenda ili apate mshiko.Wakati sisi tunamuombea asiende yeye anaomba aende.Alifanikiwa kwenda akarudi salama!
Nenda tuu. Kwa jinsia yako na kama umejaaliwa sura nzuri, lazima ufanikiwe kuwa mwanajeshi.am woman but hii ndo ilikuwa ndoto ya maisha yangu.. jeshii![]()
Wakifika huko wanatumia mtutu kupata Pesa kwa raia na madukani......kuna dogo alikuwa nchini fulani ambayo Tz jeshi lipo akasema ukiachilia mbali pesa ya U.N. hela ipo tu nje nje kwa mtutuIla wenyewe wanajeshi wanafurahia vita.Kuna kaka yangu mwanajeshi,miaka ya nyuma, alikuwa kwenye mchujo wa watu wanaoenda peace keeping Siera Leone.Jamaa wasiwasi ulikuwa asikose nafasi ya kwenda ili apate mshiko.Wakati sisi tunamuombea asiende yeye anaomba aende.Alifanikiwa kwenda akarudi salama!
mkuu inawezekanaje hiiHaaa haa wala hakuwa akijali kabisa yatakayojiri huko.Baada pia alichaguliwa kwenda comoro kutuliza hali ya mambo.Tunamshukuru Mungu utawala uliopita ulimkumbuka kabla ya kuondoka madarakani ulimpandisha cheo ,kutoka major mpaka Brigedia!