Ila wenyewe wanajeshi wanafurahia vita.Kuna kaka yangu mwanajeshi,miaka ya nyuma, alikuwa kwenye mchujo wa watu wanaoenda peace keeping Siera Leone.Jamaa wasiwasi ulikuwa asikose nafasi ya kwenda ili apate mshiko.Wakati sisi tunamuombea asiende yeye anaomba aende.Alifanikiwa kwenda akarudi salama!dah, ndio mana mm nilikataa kata kata
Ila wenyewe wanajeshi wanafurahia vita.Kuna kaka yangu mwanajeshi,miaka ya nyuma, alikuwa kwenye mchujo wa watu wanaoenda peace keeping Siera Leone.Jamaa wasiwasi ulikuwa asikose nafasi ya kwenda ili apate mshiko.Wakati sisi tunamuombea asiende yeye anaomba aende.Alifanikiwa kwenda akarudi salama!
Haaa haa wala hakuwa akijali kabisa yatakayojiri huko.Baada pia alichaguliwa kwenda comoro kutuliza hali ya mambo.Tunamshukuru Mungu utawala uliopita ulimkumbuka kabla ya kuondoka madarakani ulimpandisha cheo ,kutoka major mpaka Brigedia!Kaka yako alikuwa anataka mshiko.
Aaaaaaaa chura anaruka boxer!!! Jamani churaaaa!!! Chura anaruka Bila boxer....Ameinama...Ameinuka..Anson's hata huyoooo....Mmmmmm.. balaaa tupu kwa manangaHaaaa haaaan
Aliselema halija aliselema halija ...mchakamchaka chinja....