Gharama ya barabara ya morogoro ni shilingi ngapi

Gharama ya barabara ya morogoro ni shilingi ngapi

Joined
Nov 17, 2011
Posts
16
Reaction score
5
Tafadhali, naomba mnijulishe gharama ya ujenzi wa Barabara ya Morogoro, iliyojengwa miaka ya 2000 hadi 2002 kuanzia Ubungo mataa hadi Mlandizi Pwani. Pia kama mna taarifa za ziada. Je ulikuwa ni mkopo au pesa taslimu za Kitanzania. Pia naomba mnijulishe warrant/guarantee yake ilikuwa ni kwa miaka mingapi?

Natanguliza shukrani zangu,
 
Ni vizuri kuitembelea Wizara ya Magufuli ili uje kutujuza
 
Back
Top Bottom