Hpana hapo labda kuna factor nyingine ikiwemo kulaza tofali ngapi na ukubwa wa vyumba na sebule au muinuko. Lakini mifuko ya saruji inaletwa kulingana na wingi wa tofali. Mfuko mmoja tofali za kulaza 65. So mifuko 10 kwa tofali 650. Msingi wa hiki anacholisema hauwez kufika tofali 800 landa kuwe na factor nyingine. Mana msngi wa chumba kimoja ni around 220-260 kutegemea na ukubwa na urefu wa msingi