Tupe kwanza cv yako wew,kwa sababu inaelekea wew ndio wale wa kulambalamba wanaume wenzako nanihii kwa interest zako za hovyo.mwenye cv ya Ole Sosopi atuekee hapa wakuu.Kuna vitu inabidi tuwe tunajifunza hapa
Labda hujui historia, kwani Bob Makani alitokea wapi?Chama chao, wa kanda zingine mjiandae kisaikolojia ...Mwenyekiti ni lazima atokee kwa waleeee
Ndio ukweli na mwaka huu tutaona mengi ufipamkuu huo ndo ukweli sosopi na Mashinji wako pale kwa hisani ya mwenyekiti
Angalieni mnavyojitia vidole makalioni wenyewe, leo mnatungazia kuwa amehamia huko ujingani.Huyo Getrude Ndibalema mbona alishajivua uongozi siku nyingi sana Bavicha acheni usanii