Hard drive nyingine iko home nyingine ofisini nyingine mobile, hata nikienda bushi za mbali ambako hakuna net bado nafanya kazi zangu bila ku download ma data, na hata nikiwa na net sihitaji kuchoma bandwidth eti na download data zangu mwenyewe, that's fiscal irresponsibility. Kwa hizi net service zetu za kupima kama mafuta ya taa, swala la kuweka data online may not be the best approach.
Halafu hayo ma server ya Marekani hayo kuna siku Justice Department ita subpoena ma data ya hilo li kampuni na ku compromise my personal info, who needs that?
Si vema kutumia nguvu nyingi kupinga kila kitu kiasi cha kuwakatisha wengine tamaa .Tubadilike kwa kuungana mkono kwenye mambo ya maendeleo.Naungana na mtoa mada