Gerson Msigwa: Mwaka huu Serikali itanunua ndege 4 aina ya Bombadier Q400

Gerson Msigwa: Mwaka huu Serikali itanunua ndege 4 aina ya Bombadier Q400

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
2,439
Reaction score
6,692
Wakuu,

Haya ndugu zangu,

Akizungumza leo, Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema kuwa mwaka huu Serikali ya Samia itanunua ndege 4 ikiwa ni sehemu ya kukamilisha ilani ya CCM ambayo ilisema kuwa ndani ya miaka 5 itanunua ndege 8

 
  • Thanks
Reactions: Lax
Hivi ni mashart gani naweza kufata kama kijana wa kitanzania nikapata hata million 4 nikafanya biashara ambayo serikari inipe mda wa miaka miwili nirudiashe kile kiasi na riba juu wakuu..

Maana business plan ninayo
Mashariti yanajukana mbona,kama huna nyumba au kiwanja hupati kitu.
 
Hivi ni mashart gani naweza kufata kama kijana wa kitanzania nikapata hata million 4 nikafanya biashara ambayo serikari inipe mda wa miaka miwili nirudiashe kile kiasi na riba juu wakuu..

Maana business plan ninayo
Tafuta kadi ya CCM
 
Sasa mi kijana ndo najitafuta ninataoa kufanya biashara ..

Wanataka nyumba au kiwanja mi natoa wapi mbna hawajitambui
Tofauti na hapo nenda kausha damu nawao hupati million 4 chini ya hapo. Ccm bado haijatengeneza mazingira mazuri yakuwawezesha vijana hasa kwenye inshu ya mitaji.
 
Ngara tuwe seriously mkuu daaah...
Kweli nahitaji ujue
Ukweli ndo huo tembelea TAWI la CCM lililo karibu nawe upate kadi,
Jipendekeze mno,
Nakuhakikishia baada ya muda wewe ndo utakuwa unapewa pesa ukagawe Kwa machawa chipukizi
 
Hv c n hii hii serikali ya kishetani ilisema hizi ndege zinaleta hasara au?
Mlijibiwa vile ili kuridhisha kelele zenu za kupinga ununuzi wa ndege

Wakati mnashangilia ndani ya mabox yenu yenye nywele, nyuma ya tent serikali inaendelea na harakati zaidi kupanua wigo wa maendeleo ya usafiri wa anga

Ndiyo tena muwapigie simu akina mange, heche na ford foundation muanze upya tena makelele ya kupinga mara pay in advance/leasing.
 
Ukweli ndo huo tembelea TAWI la CCM lililo karibu nawe upate kadi,
Jipendekeze mno,
Nakuhakikishia baada ya muda wewe ndo utakuwa unapewa pesa ukagawe Kwa machawa chipukizi
Ahahahaha daaah mbna kazi yenyewe hataereeeee
 
Hivi huwa wanazifanyia nini? Mbona usafiri wa anga bado ni uchafu uleule wa miaka na miaka?

Haya ndo madeal wanayopiga inflation za maana ndio maana hawayaachi na wanalipa cash ili kickbacks zao ziwekwe Jersey island na Swiss na Dubai
 
Hivi ni mashart gani naweza kufata kama kijana wa kitanzania nikapata hata million 4 nikafanya biashara ambayo serikari inipe mda wa miaka miwili nirudiashe kile kiasi na riba juu wakuu..

Maana business plan ninayo
Njia rahisi mkuu we hata kama humpendi samuya na ccm, nenda ofc za ccm mtaani chukua kadi kinafki uwe 'mwanachama'...hapo utakuwa 50% umefanikiwa kupata mkopo!
 
Back
Top Bottom