PostGE2025 Gerson Msigwa: Kufanya maandamno Desemba 9 ni kuvunja sheria

PostGE2025 Gerson Msigwa: Kufanya maandamno Desemba 9 ni kuvunja sheria

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
"Kesho ni siku ambayo Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan aliitangaza hakutakuwa na sherehe lakini hatutarajii kesho kuna watu watathubutu kuvunja sheria kwa kufanya matendo ambayo yanavunja amani.

"Na tukio lolote la kufanya maandamano kesho ni kuvunja sheria. Hatutarajii kuwepo kwa maandamano kwa sababu hakuna kibali kiliombwa na kilichotolewa" Gerson Msigwa, Msemaji wa Serikali.

1765196395651.png
 
"Kesho ni siku ambayo Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan aliitangaza hakutakuwa na sherehe lakini hatutarajii kesho kuna watu watathubutu kuvunja sheria kwa kufanya matendo ambayo yanavunja amani.

"Na tukio lolote la kufanya maandamano kesho ni kuvunja sheria. Hatutarajii kuwepo kwa maandamano kwa sababu hakuna kibali kiliombwa na kilichotolewa" Gerson Msigwa, Msemaji wa Serikali.
Sheria ya kifungu kipi bwana msigwa?
 
"Kesho ni siku ambayo Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan aliitangaza hakutakuwa na sherehe lakini hatutarajii kesho kuna watu watathubutu kuvunja sheria kwa kufanya matendo ambayo yanavunja amani.

"Na tukio lolote la kufanya maandamano kesho ni kuvunja sheria. Hatutarajii kuwepo kwa maandamano kwa sababu hakuna kibali kiliombwa na kilichotolewa" Gerson Msigwa, Msemaji wa Serikali.
View attachment 3512943
Huyu vuvuzela siku zake zinahesabika
 
Anajichanganya, yeye anaongelea ILANI ya chama chao.

Nchi hii haina sheria, hatuna rais, mbunge wala diwani.

Akumbushwe hatujafanya uchaguzi, tukimaliza kuwaondoa watawala ataona katiba inakuwaje, na sheria zikoje na zikivunjwa inakuwaje.
 
"Kesho ni siku ambayo Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan aliitangaza hakutakuwa na sherehe lakini hatutarajii kesho kuna watu watathubutu kuvunja sheria kwa kufanya matendo ambayo yanavunja amani.

"Na tukio lolote la kufanya maandamano kesho ni kuvunja sheria. Hatutarajii kuwepo kwa maandamano kwa sababu hakuna kibali kiliombwa na kilichotolewa" Gerson Msigwa, Msemaji wa Serikali.
View attachment 3512943
Mbona viongozi wa nchi wao ndio vinara wa kuvunja katiba na sheria za nchi!? Watuache tafadhali! TUMECHOKA!
 
Msigwa, twambie bana mlivyoua watanganyika kwa risasi MO29 mlifata sheria au mlivunja sheria?
 
"Kesho ni siku ambayo Rais Samia Suluhu Hassan aliitangaza hakutakuwa na sherehe lakini hatutarajii kesho kuna watu watathubutu kuvunja sheria kwa kufanya matendo ambayo yanavunja amani.

"Na tukio lolote la kufanya maandamano kesho ni kuvunja sheria. Hatutarajii kuwepo kwa maandamano kwa sababu hakuna kibali kiliombwa na kilichotolewa"
 
Back
Top Bottom