German shepherd dog for sale

German shepherd dog for sale

kamanzi06

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2012
Posts
350
Reaction score
165
habari wakuu,
nauza German shepherd dog kama anavyoonekana kwenye picha hapo.
umri: miezi saba
rangi: nyeusi
bei 400,000/-
maelewano yapo

mawasiliano:
unaweza kuniPM
email: kamanzi06@yahoo.com
 

Attachments

  • IMG-20130115-00746.jpg
    IMG-20130115-00746.jpg
    31 KB · Views: 320
  • IMG-20130115-00737.jpg
    IMG-20130115-00737.jpg
    36.6 KB · Views: 270
  • IMG-20130115-00752.jpg
    IMG-20130115-00752.jpg
    29.3 KB · Views: 246
pole sana mkuu, nitafute. mbwa mzuri kweli
 
habari wakuu,
nauza German shepherd dog kama anavyoonekana kwenye picha hapo.
umri: miezi saba
rangi: nyeusi
bei 400,000/-
maelewano yapo

mawasiliano:
unaweza kuniPM
email: kamanzi06@yahoo.com

Mkuu, asante kwa taarifa.
Mimi nahitaji kununua mbwa kama huyu kuanzia Jun/July, 2013.
Nitapata wapi mbwa kama huyu ambaye pia nitawaomba polisi wanifundishie huyo mbwa.
 
Aisee kamanda nitakutafuta, huyu mbwa wa ukweli sana na bei yake reasonable. Nilikuwa na wa kwangu kama huyu nilipoenda masomoni akapotea.
gayo niliona jamaa pale Victoria akimuuza shiling elfu kumi na saba
 
Last edited by a moderator:
Kama mbwa wanalipa hivi, itabidi nimshauri babu yangu kule kijijini aachane na kufuga mang'ombe aanzishe ufugaji wa dogs
 
kwasasa huyu mbwa ninaye huyu tu, na ninatarajia kusafiri kwa muda mrefu kwa hiyo sina taarifa sana kuhusu upatikanaji wao.
karibu mkuu
 
Niko na jamaa angu hapa toka pande zile udenda umemtoka, kamtamani sana for a different purpose though
 
By the way, hivi utaratibu wa kufundisha mbwa bongo ukoje? Kuna shule? Je, polisi wanakubali kufundisha mbwa wa raia? Sh. ngapi?
 
mbwa aliyekuwa trained hawezi fanya ivo mkuu
 
utaratibu upo. polisi huwa wanaprovide training, hata hivo huwa kuna watu wataalamu wanafundisha mbwa kwa malipo
 
habari wakuu,
nauza German shepherd dog kama anavyoonekana kwenye picha hapo.
umri: miezi saba
rangi: nyeusi
bei 400,000/-
maelewano yapo

mawasiliano:
unaweza kuniPM
email: kamanzi06@yahoo.com

Aisee kamanda nitakutafuta, huyu mbwa wa ukweli sana na bei yake reasonable. Nilikuwa na wa kwangu kama huyu nilipoenda masomoni akapotea.

Hivi gayo au kamanzi06 unawaza nini!
Unadhani hapa kuna vichwa panzi?
Same dog...same same.... hii hapa
Sasa umekuja na usanii mwingine....unaandika na kulike mwenyewe
 
Mkuu, asante kwa taarifa.
Mimi nahitaji kununua mbwa kama huyu kuanzia Jun/July, 2013.
Nitapata wapi mbwa kama huyu ambaye pia nitawaomba polisi wanifundishie huyo mbwa.

0713/752 397767 mpigie Clement anauza mbwa wa kisasa

alfredmkohiatgmaildotcom
 
Back
Top Bottom