GE2025 George Musamali: Walitarajia watu wa Bara ni watulivu, kuzimwa kwa Intaneti linachochea uchafuzi zaidi Tanzania

GE2025 George Musamali: Walitarajia watu wa Bara ni watulivu, kuzimwa kwa Intaneti linachochea uchafuzi zaidi Tanzania

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Mchambuzi wa masuala ya kiusalama George Musamali akiwa katika Mahojiano na Shirika la Habari BBC alijibu swali hili, Je dalili za vurugu zilikuwepo mapema au habari za kiintelijensia zilipuuzwa?

Alieleza kuwa ilitarajiwa kuwa watanzania wa Bara ni watulivu na hata mamlaka mbalimabali za serikali waliaamini kwamba isingewezekana wananchi kufanya Maandamano ambayo kwa sehemu kubwa yalichochewa na Vijana Mitandaoni iliyokuwa dalili tosha kwa Vyombo vya usalama kuwa tayari kukabiliana nayo

Pia ameongelea kuhusu Huduma ya Intaneti kuzimwa jambo ambalo liliwafanya wananchi kukosa taarifa na ni njia moja wapo iliyokuwa inachangia uchochezi zaidi kwa kukosa taarifa zilizothibitishwa




 
Kuna watu wanajua tanzania kuna usalama wa taifa na jeshi la polisi kumbe kuna usalama condom na jeshi la malaya
 
Back
Top Bottom