Tango73
JF-Expert Member
- Dec 14, 2008
- 2,128
- 1,225
George upo bawna mdogo!
Kwa sasa Simba na Yanga sio vilabu vya kujiunga navyo ukiwa tayari umukata kuchezea timu ya taifa.
Salamba Adam kamaliza kipaji chake cha Goal getter baada ya kujiunga na mkeka wa Simba. Yusuph Mhilu kaua mpira wake baada kujiunga na mkeka wa Simba.
Nasema mkeka wa Simba maana unawekwa mkekani ligi nzima ukipangwa ujue hiyo ni mechi ya hisani tuu!
Angalia kijana Denis aliyejiunga na Yanga akitokea Biashara Musoma. kakalia mkeka wa yanga mpaka anakiua kipaji chake tartibu!
George wewe chezea Geita Gold hata kama utaishia kula ugali kwa harufu ya kiatu lakini ujiko wako wa kuukata upo taifa stars na huko ndo Real Madrid na PSG watakako kufuata.
Please keep my words George or else you will fall for everything! Mtaka yote kwa pupa hukosa yote kwa pupa!
Kwa sasa Simba na Yanga sio vilabu vya kujiunga navyo ukiwa tayari umukata kuchezea timu ya taifa.
Salamba Adam kamaliza kipaji chake cha Goal getter baada ya kujiunga na mkeka wa Simba. Yusuph Mhilu kaua mpira wake baada kujiunga na mkeka wa Simba.
Nasema mkeka wa Simba maana unawekwa mkekani ligi nzima ukipangwa ujue hiyo ni mechi ya hisani tuu!
Angalia kijana Denis aliyejiunga na Yanga akitokea Biashara Musoma. kakalia mkeka wa yanga mpaka anakiua kipaji chake tartibu!
George wewe chezea Geita Gold hata kama utaishia kula ugali kwa harufu ya kiatu lakini ujiko wako wa kuukata upo taifa stars na huko ndo Real Madrid na PSG watakako kufuata.
Please keep my words George or else you will fall for everything! Mtaka yote kwa pupa hukosa yote kwa pupa!