PreGE2025 George Mkuchika atangaza rasmi kutogombea ubunge katika uchaguzi mkuu 2025

PreGE2025 George Mkuchika atangaza rasmi kutogombea ubunge katika uchaguzi mkuu 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Kazi Maalumu George Mkuchika ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Newala Mji mkoani Mtwara ametangaza rasmi kutogombea ubunge katika uchaguzi wa mwezi Oktoba mwaka huu.

IMG_3634.jpeg
Waziri Mkuchika ametangaza uamuzi huo kwenye kikao cha kamati kuu ya jimbo kilichokuwa na lengo la kuzungumzia mafanikio ya jimbo hilo.

Mkuchika aliingia bungeni mwaka 2010, amedumu katika nafasi hiyo kwa miaka 20.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Credit:
TBC Digital
 
Mwenyezi Mungu ambariki mzee wetu mh.Kamarada Mkuchika aaamin aaamin !!

Kwake taifa hili ni kwanza kabla ya chochote kile....

Na kwetu vijana ni lazima Tanzania iwe kwanza kabla ya pumzi zetu.... tuachane na siasa koko za Kiliberali zenye kulichafua taifa hili na viongozi wake "deliberately"....

Akina mh.Rais Ndaitwah na ndugu zetu wanamibia wanaujua UTUKUFU wa dola la Tanzania!

#Viva Tanzania Vivaaaaa!
 
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Kazi Maalumu George Mkuchika ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Newala Mji mkoani Mtwara ametangaza rasmi kutogombea ubunge katika uchaguzi wa mwezi Oktoba mwaka huu.

View attachment 3279101
Waziri Mkuchika ametangaza uamuzi huo kwenye kikao cha kamati kuu ya jimbo kilichokuwa na lengo la kuzungumzia mafanikio ya jimbo hilo.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Mkuchika aliingia bungeni mwaka 2010, amedumu katika nafasi hiyo kwa miaka 20.

Credit: TBC Digital
Wazee wote wajitolee kufanya uamuzi kama huo kutengeneza nafazi za ajira kwa vijana
 
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Kazi Maalumu George Mkuchika ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Newala Mji mkoani Mtwara ametangaza rasmi kutogombea ubunge katika uchaguzi wa mwezi Oktoba mwaka huu.

View attachment 3279101
Waziri Mkuchika ametangaza uamuzi huo kwenye kikao cha kamati kuu ya jimbo kilichokuwa na lengo la kuzungumzia mafanikio ya jimbo hilo.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Mkuchika aliingia bungeni mwaka 2010, amedumu katika nafasi hiyo kwa miaka 20.

Credit: TBC Digital
Kafuata nyayo za Mpango! Ni hekma na busara kubwa sana
 
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Kazi Maalumu George Mkuchika ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Newala Mji mkoani Mtwara ametangaza rasmi kutogombea ubunge katika uchaguzi wa mwezi Oktoba mwaka huu.

View attachment 3279101
Waziri Mkuchika ametangaza uamuzi huo kwenye kikao cha kamati kuu ya jimbo kilichokuwa na lengo la kuzungumzia mafanikio ya jimbo hilo.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Mkuchika aliingia bungeni mwaka 2010, amedumu katika nafasi hiyo kwa miaka 20.

Credit: TBC Digital

Mbona nimekuwa namsikia Mkuchika kwa miaka mingi zaidibya hiyo 20. Kabla ya hspo alikuwa wapi?
 
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Kazi Maalumu George Mkuchika ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Newala Mji mkoani Mtwara ametangaza rasmi kutogombea ubunge katika uchaguzi wa mwezi Oktoba mwaka huu.

View attachment 3279101
Waziri Mkuchika ametangaza uamuzi huo kwenye kikao cha kamati kuu ya jimbo kilichokuwa na lengo la kuzungumzia mafanikio ya jimbo hilo.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Mkuchika aliingia bungeni mwaka 2010, amedumu katika nafasi hiyo kwa miaka 20.

Credit: TBC Digital
Hesabu ya miaka imekaa vibaya mkuu, rekebisha.
 
Back
Top Bottom