Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 43,935
- 95,306
hata huyu aliyopo sidhani!Kwasasa akishapitishwa na Chama tu, ujue huyo ndiye
Kwahiyo wapige kura ama wasipige akishapitishwa na Chama, basi lazima awe ndiye
hata huyu aliyopo sidhani!Kwasasa akishapitishwa na Chama tu, ujue huyo ndiye
Kwahiyo wapige kura ama wasipige akishapitishwa na Chama, basi lazima awe ndiye
Hii Nchi ngumu sana, huyo lazima ashinde Kwa kishindo cha asilimia 80 hadi 98 hapohata huyu aliyopo sidhani!
bado mzee, bado sanaHii Nchi ngumu sana, huyo lazima ashinde Kwa kishindo cha asilimia 80 hadi 98 hapo
Ndio maana sio tajiriHuyu Mzee pamoja na kuwa waziri kwa mda mrefu sijawahi kumsikia akiwa na kashfa yeyote ile ya ufisadi
Ana staafu ubunge
View attachment 3279117
Wasira ni kimeo sanaKeshazeeka tu kaona hamna kingine bora yeye kaona akalee wajukuu na kama hajatosheka miaka yote hatatosheka kamwe kuliko wasira anayesubiri kufia madarakani hashibi milele!
Mbowe angefanya hivi, lisinhemtokea lililo mtokeaAtamuweka mtoto wake wa Kike au wa kiume?
Si unasikia tena kuwa kapiteni wa jeshi?Mbona nimekuwa namsikia Mkuchika kwa miaka mingi zaidibya hiyo 20. Kabla ya hspo alikuwa wapi?
I mkKuna mjinga Fulani F4, alipata 4, akaajiwa ualim.. ,sasa anapewa Jimbo! Kisa, alimzalish. a mtoto. Nchi ni ngumu hii.
Ukanda ule,walim.. wengi wa jinsia ile,wamepewe vyeo vikubwa,wanajua kutumia uchumi wao wa chini vizur
Hiyo inaitwa nitakupisha ukae .mm nashukia kotuo cha mbele hapoSasa anamwachia Mwajuma ,Mkurugenzi wa Moshi Manispaa Jimbo.
Nchi ni ngumu sana!
Tuulize wakulima wa korosho tukuambie huyu Mzee ni sawa na zimwi likujuajo ..ameididimiza Newala mpk imekuwa Jimbo la hovyo licha ya kuwa na utajiri wa korosho!!Huyu Mzee pamoja na kuwa waziri kwa mda mrefu sijawahi kumsikia akiwa na kashfa yeyote ile ya ufisadi
Ana staafu ubunge
View attachment 3279117
mwananchi kidakindakiMwenyezi Mungu ambariki mzee wetu mh.Kamarada Mkuchika aaamin aaamin !!
Kwake taifa hili ni kwanza kabla ya chochote kile....
Na kwetu vijana ni lazima Tanzania iwe kwanza kabla ya pumzi zetu.... tuachane na siasa koko za Kiliberali zenye kulichafua taifa hili na viongozi wake "deliberately"....
Akina mh.Rais Ndaitwah na ndugu zetu wanamibia wanaujua UTUKUFU wa dola la Tanzania!
#Viva Tanzania Vivaaaaa!
Captain Msataafu.Huyu Mzee pamoja na kuwa waziri kwa mda mrefu sijawahi kumsikia akiwa na kashfa yeyote ile ya ufisadi
Ana staafu ubunge
View attachment 3279117
Zealout son of Tanzania !mwananchi kidakindaki