George Masaju ni mnafiki

George Masaju ni mnafiki

waandishi wetu nao ni makanjanja au ndiyo hizo bahasha za kaki...

wakati Masaju anatoa utetezi wa kwamba apewe muda ili asome majalada ofisini kisha aje na majibu, kwa nini wasimuulize kuwa miaka yote aliyokaa kama Naibu AG alikuwa akifanya nini? Maana alijibu lile swali kama vile yeye ni mgeni kwenye ofisi ya AG wakati si kweli.
Huyu nae si alitakiwa ajiuzulu?ina mana ile eskelewu hakuijua?
 
Hata hivyo huenda akafaidi ofisi hiyo kwa miezi kumi tu. Kama ni mjanja awageuke maccm na kufanya haki tupu na kuwafichua wezi wote ili huenda UKAWA wakampenda na kuendelea naye mwakani
 
Hata hivyo huenda akafaidi ofisi hiyo kwa miezi kumi tu. Kama ni mjanja awageuke maccm na kufanya haki tupu na kuwafichua wezi wote ili huenda UKAWA wakampenda na kuendelea naye mwakani

Labda kama siielewi vizuri katiba, navyojua mimi Mwanasheria mkuu wa serikali anaondoka madarakani na Rais alomteua.
 
Swali kama hilo ni gumu sana kujibika kwa ufasaha wake wakati cheo chenyewe ni sandakalawe/ulaji tu! mlitaka aidharirishe mamlaka ya uteuzi? hata atumikie cheo hicho miaka 800 hawezi kutoa jibu abadani unless mkulu ajibu kwanza lile swali aliloulizwa ughaibuni why this country is very poor despite of being granted many natural resources!?
 
Yawezekana yeye ndiye aliyemshauri Werema afanye alichokifanya. Ila hii ni neema kwa nchi jamani kwani ndio watanzania watafanya maamuzi vizuri zaidi Oct 2015.

Kwa watanzania kupata uelekeo mzuri ilikuwa ni muhimu JK kuwa Rais, na ndio maana Askofu msaidizi Kilaini alisema ni chaguo la Mungu yaani mtu ambaye atafanya CCM iparanganyike na kupoteza ushindi. Kuna wakati hata refa atashindwa kuibeba timu kwenye mechi wakati washangiliaji wote wanaona na wanazijua sheria za mchezo!!!
 
"Unafiki wa kwanza upo Kwako wewe mleta habari za kinafiki"-maana ulivyoifinyanga habari hii ili kuihalalisha ni full unafiki.
 
Hata ukimwangalia usoni tu hupati matumaini. Nyerere alitufundisha kuwa ukimwangalia usoni mtu utaona dhamira ya dhati au la. Pale naona boya tu.
 
Back
Top Bottom