GEORGE MARATO na swagga zake za ki MURANGIRA

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,894
155,914
Hivi waandishi ndio wanatakiwa kuwa na masimu yote hayo?
Au jamaa ana kazi nyingine ya kumuongezea kipato kwa kutibu simu za kichina?


 
kumbe ndo huyu joji maratu? mbona sura yake haifananii na swagaa za itttttttttttvvvvvvvvvvvvv
 
Pia huyo ndio mbeba hotuba na makaratasi ya mbunge wa Musoma Vijijini ,Nimrodi Mkono
 
iiiiiiiiiiiiiiiiitviiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.huwa inanifurahisha sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
utangazaji wake unanichekesha ninapokuwa nimenuna na kunikera ninapokuwa nimefurahi
 
Halafu suti aliyovaa si ya kawaida...ni ya Usalama wa Taifa! Kumbe huyu naye hafai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…