TANZIA George Foreman Afariki na Miaka 76

Rip
 
Muhammad Ali, anaonekana ni mtulivu sana aliyekuwa anaongea Kwa upole sana.

Tofauti na sifa ya mabondia wengi walivyo

Pambano lake na George Foreman, Kwa upande wangu ndilo pambano kali nyakati zile
Hapana alikua ashaanza kuugua hiyo ule ugonjwa wa kutetemeka
 
Muhammad Ali, anaonekana ni mtulivu sana aliyekuwa anaongea Kwa upole sana.

Tofauti na sifa ya mabondia wengi walivyo

Pambano lake na George Foreman, Kwa upande wangu ndilo pambano kali nyakati zile
It from there mohamad ali alitake damage. Na akaanza kutetereka. Foreman ni moja ya heavy hit guys, ngumi nzito.

Ila mwisho wa siku this hawa jamaa ndio wame define boxing
 
It from there mohamad ali alitake damage. Na akaanza kutetereka. Foreman ni moja ya heavy hit guys, ngumi nzito.

Ila mwisho wa siku this hawa jamaa ndio wame define boxing
Huo mchezo wa kupigana ngumi za Kichwani sio mzuri kabisa, Kuna mtu niliwahi kumpiga ya kwenye sikio bahati mbaya

Hadi sasa anapata shida kusikia

Huo mchezo sio mzuri kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ