mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,195
- 49,137
NiulizeKwani na ninyi mnatafuta phD ya kuchinja watu hadi mtake awaeleze alipoipata?
NiulizeKwani na ninyi mnatafuta phD ya kuchinja watu hadi mtake awaeleze alipoipata?
Acha ujinga wewe huyo hajakamatwa kwa sababu ni muhutu ni ushenzi wake aliofanya ndio umemfikisha hapo,na issue ya kupewa lawyer ni jambo la kawaida sana na linafanyika nchi nyingi tuu
RwAnda nci ya kisenge
Wa.hutu wanatabia ya kitakatifu km wa bongo
Kusahau
Kasemehe kizembe
Kulidhika
Kupuuza
Woga
Na ujinga
Wanakandamizwaa na.kuonewa then.wanahuzunik kimoyo moya..smtym.bora vita tuu kuliko.kuonekana.jinga.na mbululazzz
Ila bongo n.too much ..tunaupinzan uchwaraa na raia waoga
Wamarekani hawafanyi vitu kwa Bahati mbaya na si wanafiki kwa mtu wasiye na maslahi nae.ni wazi wamejiridhisha kwamba jamaa alihusika na mauaji lasivyo wasingemuachia.USA imekosea sana. Justice will not be done to him. Si ajabu akauawa kwa sumu taratibu. Wangelimpeleka the Hague haki ingelitendeka, siyo nchi za kiafrika
Punguwani mwenyeweTafadhali Sana usitupandishie mbegu ya makabila hapa Tanzania wewe kama mmezoea kuoneana kwa makabila ni huko kwenu. Waoga unataka tufanyeje tuuwane? Punguani wewe.
OMG! do you really believe so? or just spreading your usual shit kinda thing? get serious boy...Kwa serikali ya kitusi ya Rwanda kila msomi muhutu atatafutwa popote alipo akajibu tuhuma za mauaji ya kimbari Rwanda. Lengo hasa ni kuhakikisha hakuna msomi muhutu atakayebaki uraiani kuwaongoza wahutu kujikomboa kutoka makucha ya inkotanyi.
You remind me of king Solomon and two mothers...dream on interahamwe
I mean what I m talking brotherOMG! do you really believe so? or just spreading your usual shit kinda thing? get serious boy...