Killer ni No 3 kwa sababu ( tatu kuu) na ndogo ndogo kadhaa
1. Ni mwanamke sababu kwa yeye ilikua rahisi kuingia choo cha kike na kutekeleza mauaji bila kuhisiwa, lakini pia aliyeuliwa ni mwanamke ndani ya choo cha kike
2. Mara nyingi mwanamke hawezi kuua bila silaha, kwa makomandoo wachache sana ndo wanaweza
3.........................Hizi ni kazi za kitaalamu kuongea hapa kuwafumbua macho wahalifu