Genge la Wanafiki wa CHADEMA

Kwa wenye akili timamu....hamna mtu mwenye sifa ya kufanana na yuda atajayemfikia Mbowe......unamdhalilisha Slaa kisa pesa za fisadi Lowasa?....

Haiyumkini ndio maana mnaitwa Nyumbu

NYUMBU ni CCMscrow. Kwa miaka 50 wametumia maigizo wakidhani yataleta maendeleo. Na wafuasi wake wameendelea kusifia kama MAPIMBI!!

Sasa yameanza maigizo mapya, MANYUMBU ya CCMscrow kama kawaida mnasifia.

Baadae wakishagundua ni fiksi, wanaanza kutafuta vijimaneno kujiliwaza
 

Wafasi wa chadema sawa na mzoga,wanaangaika kuupaka panyumu ili unukie vizuri,lkn haiwezekani
Walipiga kelele juu ya ufisadi sasa hivi ukitaka ufisadi wananuna kwa nini?
 

Manyumbu bwana,na wewe ni kipenga cha kingunge
 
Hawa nyumbu wa chadema hawana wimbo wa kuimba wanasubiri akina M.b.o.w.e watunge wimbo mpya waanze kuuimba maana ule wa ufisadi walipigwa stoo kuuimba..... !!!!
Nikidhani majipu anayo tumbua sasa Magufuli yamekusaidia kuelewa kelele za akina Mbowe kumbe bado!!
 
Angalia comment za wafasi wa chadema ndo utajua kuwa hakuna kitu kibaya kuwa kahaba/Malaya wa siasa, sasa hivi hawaeleweki kuwa akili zao ni za malengo UPI,tangu fisadi alipowanunua hawajielewi wanabaki kutetea mafisadi wa upande wao na kuponda waliokuwepo ccm, itawachukua miaka 50 tena kutafuta falsafa mpya ,ya ufisadi mumeitupa ccm wameichukua,
 
Genge LA ukawa ni bora kufungua punda unaweza kuwapa mzigo wakaufikisha kuriko hawa wanaogeuza Malango ya ufisadi njiani,
 
Angalia comment za nyumbu wa chadema
Wanavyosapoti kuitwa lowasa fisadi na chadema huku wakiponda mafisadi mengine
 
Zitto amesema walioshindwa ubunge watapewa kazi nyingine. Inawezekana brother Mchange ndo kapewa kazi ya kushughulika na upande wa mitandao ya kijamii kupambana na watu wanaomshambulia Zitto kwa namna moja au nyingine. Halafu kwa akili yake, wanaoona mabaya ya Zitto ni wanachama wa CHADEMA pekee.
 
Mwanasiasa ambae siyo mnafiki wa upinzani alikuwa mmoja tu, Dr. Wilbroad Peter Slaa wengine wote hata wewe Habib Mchange ni wale wale, wanafiki na wasaka tonge.
 
sasa haya matusi ya nini? Mtu mwenyewe unajiita moto chini, endelea kuwashiwa moto huko chini.siasa achia wenye akili.
Nyumbu yeyote hana lakunieleza, jipime kwa ulofa wako kisha quote post yangu, sivyo endelea na uzuzu wako kumfulia Kaptula DJ BOWE
 

Umenena mzalendo... Kumbuka kila mtu ana bei yake kwani Mbowe,Lissu, Mnyika, Msigwa, Sugu n.k Lowassa alifika bei wakapiga kimya.
 
Kuweka kumbukumbu sawa, Zitto ndiye alikuwa mwanasiasa wa kwanza kumwalika lowassa kwenye chama chake cha ACT baada ya jamaa kukatwa na ccm. Kwa hiyo kama lowassa angeamua kwenda ACT angepokelewa tu. Nadhani ktk hili tutende haki
 
Sioni mtu mshenzi na mnafiki zaid ya mbowe ulimwengu huu
 
Mwanasiasa ambae siyo mnafiki wa upinzani alikuwa mmoja tu, Dr. Wilbroad Peter Slaa wengine wote hata wewe Habibu Mchange ni wale wale, wanafiki na wasaka tonge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…