dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,754
- 18,776
Iko hv Jana Niko na fundi wangu ambe ni mtaalmu wa plaster na tiles bas nikamuuliza vip yule kijana ako yuk wapi sas hv anasoma wapi alikuja kupata chuo gani? ndio akanijibu' yule kijana ni mpumbavu sna' mm nimemuacha apqmbane na maisha amenitukana nikammzuza na mm
Akaendeleaa akasema alinitukana aliniambia Sina akili 'baba huna akili ' sijui mzee alikuwa anamuelekeza nn ndio akatoa majibu hayo yalio mfanya mzee wake kumzusa mwanae na mpango WA chuo akaaacha nae dogo alikuwa anatakiwa kusoma engineering DIT ila mzee akakataa kumpa sapoti hadi hapo atakapo omba msamahaa dogo amaesusa kuomba msamaha Yuko zake mtaani anapambna na vibarua
Gen punguzeni viburi
Akaendeleaa akasema alinitukana aliniambia Sina akili 'baba huna akili ' sijui mzee alikuwa anamuelekeza nn ndio akatoa majibu hayo yalio mfanya mzee wake kumzusa mwanae na mpango WA chuo akaaacha nae dogo alikuwa anatakiwa kusoma engineering DIT ila mzee akakataa kumpa sapoti hadi hapo atakapo omba msamahaa dogo amaesusa kuomba msamaha Yuko zake mtaani anapambna na vibarua
Gen punguzeni viburi