Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,501
- 9,280
GEITA JESHI la Polisi mkoani Geita linamshikilia mkazi wa Kata ya Nyankumbu, Selemani Mathis (35), kwa tuhuma za kumbaka mtoto wake (jina limehifadhiwa) mwenye umri wa miaka minne.
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Mponjoli Mwabulambo, alisema mtuhumiwa huyo yuko rumande akisubiri uchunguzi tuhuma dhidi yake ukamilike ili aweze kufikishwa mahakamani.
Mtoto huyo alikuwa akiishi na baba yake baada ya mama yake kutengana na baba yake na kumwacha mtoto huyo na mdogo wake wa miaka miwili
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Mponjoli Mwabulambo, alisema mtuhumiwa huyo yuko rumande akisubiri uchunguzi tuhuma dhidi yake ukamilike ili aweze kufikishwa mahakamani.
Mtoto huyo alikuwa akiishi na baba yake baada ya mama yake kutengana na baba yake na kumwacha mtoto huyo na mdogo wake wa miaka miwili