Gea zetu wanaume katika mapenzi Huwa ni" Auto"

Nyoka_mzee

JF-Expert Member
Nov 26, 2016
3,695
5,515
Linapokuja swala la mapenzi huwa wanaume Gea zetu ni auto ,imana tunaingia fasta na kutoka fasta inapopidi,

Ila watoto wa kike wao Gea zao ni Manual,anaweza akachukuwa muda kukupenda na pia akachukuwa muda kukuacha pia ,na hata wakat mwingine kuishi na mtu labda tu kuna kitu kimoja amekipenda toka kwake ,

mfano mwanamke anaweza kuishi na mwanaume akapenda pesa zake ,au mwonekano wake ,au ongea yake cheka yake ,na basi maisha yakaenda,

Ila jambo hili ni kinyume kwa wanaume....
 
Mbona hata nyie mnaweza kuishi na mtu kwasababu ya utamu,makalio,sura

Ni mara chache(2 kwa 10) inatokea ukapenda kila kitu kutoka kwa mtu

Haya mambo hayana formula
lakini joanah kwa wanawake ndo sana hahahaha
 
Lengo LA mwanamke ni kumtafuta mwanaume mwenye uwezo zaidi ili aweze kuhudumia familia vema.

Lengo la mwanaume ni kugonga wanawake wengi zaidi ili kuongeza ukubwa wa ukoo wake.Kwahiyo mwanaume akishamgonga mwanamke, anahamishia akili kwa wanawake ambao hajawagonga.
 
Lengo LA mwanamke ni kumtafuta mwanaume mwenye uwezo zaidi ili aweze kuhudumia familia vema.

Lengo la mwanaume ni kugonga wanawake wengi zaidi ili kuongeza ukubwa wa ukoo wake.Kwahiyo mwanaume akishamgonga mwanamke, anahamishia akili kwa wanawake ambao hajawagonga.
mkuu hahaha
 
Back
Top Bottom