Tatizo pale unapochagua movie torrent angalia kama ni DVDRip au kama ni Cam, kuna formats za aina nyingi torrent, pendelea kudownload movies zenye quality ya 720 na kuendelea. Unapochagua muvi ukishaiona kwenye results ifungue link yake then soma descriptions. Torrents ni sehemu ambayo kila mtu anaweza akaweka movies zake, wengine wanarecord movies za maonyesho kwenye ukumbi wa muvi na kushare torrent hasa pale kama movie ni mpya na bado haijaanza kusambaa, inavujishwa na watu kwa kurecord first release yake na movies hizo haziutwi so ukija next time unatakiwa utafute format nyingine. Kama unapenda movies mpya na zenye quality subiri kama baada ya wiki moja movie ikishatoka then search na soma maelezo yake, angalia format. Usikimbilie kudownload kama hujasoma maelezo.
Pia pendelea kutazama movies na VLC kwani inaweza kusoma quality na subtitle vyema zaidi ya Media Player ya windows. Ukidownload movie torrent unaweza kupata na subtitle hivyo tumia version mpya/current ya VLC then download movies zenye quality na subtitle. Enjoy.